UNWTO KUWEKA MIKAKATI YA KWAJENGEA UWEZO WADAU WA UTALII NCHINI TANZANIA
NA MWANDISHI WETU MAALUM KISIWA CHA SAL-CAPE VERDE Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masula ya Utalii Duniani ( UNWTO) limeahidi kushirikiana na Tanzania katika kuweka mikakati bora ya kuwajengea uwezo watu waliopo katika sekta ya utalii nchini kuanzia mwezi juni 2022 Hatua hiyo inakuja kufuatia hali mbaya ya ugonjwa wa COVID kuidhoofisha sekta ya utalii
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed