UNWTO KUWEKA MIKAKATI YA KWAJENGEA UWEZO WADAU WA UTALII NCHINI TANZANIA

NA MWANDISHI WETU MAALUM KISIWA CHA SAL-CAPE VERDE Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masula ya  Utalii Duniani  ( UNWTO) limeahidi kushirikiana na Tanzania katika kuweka mikakati bora ya kuwajengea uwezo  watu waliopo katika sekta ya utalii nchini kuanzia mwezi juni 2022 Hatua hiyo inakuja kufuatia hali mbaya ya ugonjwa wa COVID  kuidhoofisha sekta ya utalii